Posts

Mfahamu kigogo na mgunduzi wa simu ya kwanza

Image
Nafahamu fika bila shaka mawasilaiano ya simu yamekusaidia mambo mbalimbali. Pamoja na kukusaidia mambo hayo mbalimbali swali langu kwako je umfahamu mgudunzi wa simu? Kama jibu ni hapana, basi fahamu ya kwamba bwana Alexender Graham Bell huyu ndiye mgunduzi wa simu ya kwanza kabisa. Alexender Graham Bell yeye alizaliwa mnamo mwaka 1847 katika mji wa Edinburgh nchini Uskoti na baadae alihamia nchi za kanada. Baba yake na mgunduzi huyu wa simu alikuwa ni mwalimu wa wanafunzi wenye ulemevu wa kusikia yaani viziwi baadae elexender naye ajilijikuta anakuwa na mgunduzi na mvumbuzi wa vitu mbalimali. Wakati mkewe ndiye aliye mvutia na kumshawishi Alexander Graham Bell aweze kuzama ndani zaidi kiuchunguzi kwa kufanya uchunguzi katika matamshi na usikilizaji baadae alikwenda zaidi kuchunguza ni jinsi gani vifaa vya kusikilizia sauti hufanya kazi hapo ndipo alipo weza kuibuka na simu yakwanza yenye kufanya kazi. Alizawadiwa tuzo iliyo fahamika kama first U.S patent mnamo mwak

zitambue faida za kutumia mchaichai kama tiba na chakula

Image
Zifuatazo ni faida za kutumia mchaichai kiafya. 1. Mchaichai ni kinga dhidi ya saratani. Tafiti mbalimbali zimeonyesha kuwa kwenye kila gram 100 ya mchaichai, kuna viondosha sumu ambavyo vina uwezo wa kuukinda mwili dhidi ya ugonjwa wa saratani. Mwaka 2006, timu ya watafiti kutoka Chuo kikuu cha Gurion, Israel waligundua mchaichai una uwezo wa kuua seli zinaweza kusababisha saratani. 2. Hutibu magonjwa ya kuhara. Husaidia umeng’enyaji wa chakula Chai ya mchaichai hurahisisha utaratibu wa mmeng’enyo wa chakula na pia hutibu magonjwa ya kuhara na maumivu ya tumbo ikiwamo kujaa gesi. Hurahisisha utaratibu wa kuondoa uchafu mwilini Katika matibabu, unatibu magonjwa mengi ikiwemo kushusha joto, hasa kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na malaria kali. 3. Husaidia kusafisha figo na mkojo. Mchaichai pia una kazi ya kusafisha figo ambayo kazi yake kubwa ni kusafisha damu mwilini, kuondoa mafuta mabaya mwilini ambayo mengi yanatengenezwa na kemikali kiwandani na hivyo mwili kushind

MAGAZETI YA LEO 16/12/2018

Image

Naibu Waziri aiagiza Tanesco kufikisha umeme Vituo 300 vya afya nchini

Image
Naibu waziri wa nishati Subira Mgalu katika kuumga mkono Juhudi za Rais Dk . John Pombe Magufuli ya kuboresha sekta ya afya hapa nchini ameliagiza Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha wanapeleka miundombinu ya nishati ya umeme haraka iwezekanavyo katika maeneo ya vituo vipya vya afya 300 pamoja na hospitali 69 ambazo zinajengwa na serikali kwa lengo la kuboresha huduma ya matibabu kwa wananchi wake. Mgalu ambaye pia ni Mbunge wa viti maalumu kupitia Mkoa wa Pwani alitoa kauli hiyo wakati wa ziara yake ya kikazi kwa ajili ya kutembelea miradi mbali mbali ya maendeleo iliyopo katika halmashauri ya mji Kibaha pamoja na kukagua mwenendo wa ujenzi wa upanuzi katika kituo cha afya mkoani kilichopo Wilayani Kibaha. “Kwa kweli nia ya serikali ya awamu ya tano ni kuhakikisha inafikisha kwa haraka miundombinu ya umeme katika vituo vipya vya afya ambavyo vinajengwa pamoja na hospitali hivyo nachukua nafasi hii kuwaagiza Tanesco pamoja na REA kufikisha umeme haraka iweze

TACRI yatoa neema Butiama

Image
Taasisi ya Utafiti wa Kahawa Tanzania (TaCRI) imefufua zao la kahawa wilayani Butiama mkoani Mara kwa kuanzisha vikundi vya wakulima baada ya zao hilo kutelekezwa kwa zaidi ya miaka 20 kutokana na ukosefu wa soko. Hayo yameelezwa na Meneja wa Kanda wa Kituo cha TaCRI kilichopo Sirari wilayani Tarime, Almas Hamad akikabidhi  vifaa mbalimbali kwa ajili ya kilimo pamoja na mbegu kilo 5 za kahawa aina ya Chotala ili kuziotesha zitakazozalisha miche 25,000 kwa kikundi cha shamba darasa(SHADABI) kijiji cha Biatika kata ya Buhemba wilayani humo, alisema kuwa lengo ni kuwawezesha wakulima kujipatia kipato kitokanacho na kahawa. ‘’Tumeamua kufufua zao hili  wilaya ya Butiama,Serengeti na Rorya lililokuwa likilimwa miaka ya nyuma lakini likaachwa kutokana na sababu za ukosefu wa elimu ya kilimo bora na masoko, tutaanza na vikundi 5 hapa Butiama,Serengeti kipo kimoja na Rorya kimoja na kadri tunavyokwenda vikundi vitaongezeka’’alisema Hamad. Aliongeza’’Tarime zao hilo limepig

Dk Kigwangalla ashusha makubwa

Image
Anna Potinus – Dar es salaam Neema imewashukia wasanii nchini baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii,Dk Hamisi Kigwangala kutoa ofa kwa wasanii wanaotaka kuandaa video za filamu ama za nyimbo zao katika maeneo ya utalii, kumuona yeye mwenyewe ili awape kibali cha kutumia vivutio hivyo vya utalii. Kigwangala ameyasema hayo leo Desemba 15, 2018 katika uzinduzi wa chaneli ya Utalii iliyopewa jina la Tanzania Safari uliofanyika ofisi za Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) jijini Dar es salaam. Dk Kigwangala amesema anafanya hivyo ili kukwepa urasimu mkubwa wanaopata wasanii wanapoomba kufanyia filamu ama video zao kwenye maeneo ya utalii nchini. “Kila siku watanzania wanalalamika kuzuiwa kupiga picha katika baadhi ya maeneo na sasa hivi nimetoa ofa kwa wasanii wote wanaotaka kutengeneza video zao katika maene ya utalii wanione mimi moja kwa moja nitawapa vibali ili nawao watangaze vivutio vyetu,” amesema Aidha amewatoa hofu watanzania wanaodhani Wizara ya y

JPM afyekelea mbali maelekezo mapya wimbo wa taifa, bendera

Image
Mwandishi Wetu,  Dar es Salaam Rais Dk. John Magufuli, ameagiza bendera, nembo na wimbo wa taifa viendelee kutumika kama awali na kufuta maelekezo yalitolewa na Wizara ya  Elimu, Sayansi na Teknolojia, katika barua yake iliyoelekezwa kwa vyuo na taasisi za serikali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, leo Ijumaa Desemba 14, barua hiyo imetoa maelezo ambayo yanaathiri uzalendo wa Watanzania na imeleta mkanganyiko wa tafsiri ya rangi na alama zilizomo katika bendera ya taifa. “Hata mimi mwenyewe tangu nasoma shule hadi leo nafahamu kuwa Bendera ya Taifa ina rangi ya njano na si rangi ya dhahabu na rangi hiyo ya njano inawakilisha madini yote, sio dhahabu peke yake. “Kwa hiyo nimeamua kufuta barua kama kuna mabadiliko basi ni lazima yafanyike kwa kuzingatia taratibu zote kwa kuwa jambo hili ni la kitaifa, si la mtu mmoja,” ilisema taarifa hiyo. Aidha, Rais Magufuli ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kuwa wazalendo, kupenda nc

Upepo waharibu nyumba 150

Image
Hadija Omary, Lindi                                       Nyumba 157 yakiwamo majengo ya serikali zimebomolewa na upepo mkali ulioambatana na mvua iliyonyesha juzi Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi. Kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Rukia Muwango amesema mvua hiyo iliyoanza saa 10:30-11:30 jioni iliambatana naupepo mkali ambao licha ya kuharibu nyumba za kuishi katika kata za Nachingwea, Songambele na Stesheni, pia umeharibu Zahanati ya Stesheni. Ametaja maeneo yaliyokumbwa na upepo huo katika Kata za Stesheni kuwa ni nyumba na zahanati jumla 83, Kata ya Songambele nyumba 14na kata ya Nachingwea nyumba 60 na kufanya idadi kufikia 157. “Katika tukio hilo watu wanne wamejeruhiwa kwa kuangukiwa na kuta za nyumba zao, kisha kukimbizwa hospitali ya wilaya hiyo wakatibiwa na kuruhusiwa kurejea majumbani mwao, hakuna aliyepoteza maisha. “Hata hivyo, bado haijafahamika hasara iliyopatikana na ofisi yake imewaagiza wataalamu kufanya upembuzi yakinifu ilikubaini thamani

Serikali ya wanyonge mnatusikia wanyonge?

Image
na EMMANUEL MWANSASU WANYONGE wanyonge wanyonge, neno wanyonge linasikika sana miaka ya karibuni haswa tangu awamu hiii ingie madarakani na Serikali yetu imekuwa ikijinasibu mara nyingi kuwa hii ni Serikali ya wanyonge lakini bado nina mashaka kama kweli Serikali hii ya wanyonge inatusikiliza wanyonge. Ukitaja wanyonge kwenye nchi hii basi unataja namba kubwa ya watu ambayo inaweza kuchukua zaidi yaasilimia sitini na kama hukubaliani na hili hebu fanya utafiti mdogo kwenyesehemu zinazotoa huduma za kijamii, ukiangalia kwa sehemu kubwa utaona wananchi wengi wa hali ya chini hukimbilia kwenye vituo vya umma leo hii ukienda Kairuki Hospitali huduma inayotolewa pale si sawa na huduma inayotolewa Mwananyamala Hospitali,namba ya watu utakayoikuta katika hospitali hizo mbili ni tofauti kabisa hapo hujatembelea shule za Kayumba almaarufu shule za Kata ulinganishe na shule kamaAl Muntazir na nyinginezo, hivyo mara nyingi ninapokuwa nasikia serikali ya wanyonge itatupigania wanyon

Wanafunzi 133, 000 waliofaulu, wakosa madarasa sekondari

Image
WANAFUNZI 133,747 sawa na asilimia 18.24  waliofaulu mtihani wa darasa la saba mwaka huu hawakupata nafasi ya kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza  katika shule za sekondari za serikali kwamwaka 2019 kutokana na uhaba wa vyumba vya madarasa. Akizungumza jana Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Seriklali za Mitaa(Tamisemi) Selemani Jafo alisema wizara hiyo imekamilisha zoezi la uchaguzi wa wanafunzi wanaopaswa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani ambapo jumla ya wanafunzi 599,356  sawana asilimia 81.76 wamechaguliwa   kati ya733,103 waliofaulu. “Aidha jumla ya wanafunzi 133,747 sawa na asilimia  na asilimia 18.24 ya waliofaulu hawakupata nafasi  kutokana na uhaba wa vyumba vya madarasa,”alisema Jafo. Jafo alitaja mikoa 17 ambayo ina uhaba wa vyumba vya madarasa na idadi ya wanafunzi waliobaki ni pamoja na Arusha wamebaki wanafunzi 18, 719, Dodoma wanafunzi 5, 991, Iringa wanafunzi 2,774 , Kagera wanafunzi 14, 046, Kigoma wanafunzi 12, 178,Lindi wana

Buriani mradi wa Liganga na Mchuchuma By Mtanzania Digital - December 11, 2018

Image
Mwandishi Wetu ULE msemo kuwa chelewa chelewa utamkuta  mwana si wako  umejidhihirisha wazi kwenye suala lauwekezaji wa mradi wa Liganga na Mchuchuma wilayani Ludewa mkoani Njombe ambapo mwekezaji, Sichuan Hongda  Group yuko njia panda kwa kukosa mwelekeo na kuungwa mkono. Kampuni imesema madai yote yalikuwa na haki ya kujadiliwa kikamilifu na Serikali ambayo ilikwisha kutoa vyeti vya vibali vya madini na vishawishi vya uwekezaji. Sichuan Hongada Group inadai mradi umekuwa ukicheleweshwa na Serikali kutofanya yanayostahili huku ikijisahau  kuwa kampuni hiyo imekuwa ikibadilisha  masharti yake kama vile haijui nini inatakakwenye mradi. Wachunguzi wa mambo wanasema mradi huo kwa kila hali umepitwa na wakati kwani sheria zimebadilika na masharti yauchimbaji madini yameathiriwa kwa kiasi kikubwa na sheria mpya za Tanzania ambazo zimebadilika kudai kupata faida kwenyeutajiri wake. Hongda Group inashauriwa nayo kubadilika ilikuzuia isijikute nje ya mradi kwa

Wanawake viwandani Tanga wampa tano JPM utekelezaji sera ya viwanda

Image
Wanawake wanaofanya kazi viwandani mkoani Tanga, wamemshukuru Rais John Magufuli, kwa utekelezaji wa vitendo wa sera ya viwanda na kwamba uwepo wa viwanda ni mkombozi kwa mwanamke. Wakizungumza na Mtanzania Digital katika mahojiano maalumu katika Kiwanda cha Chokaa cha Neelkhanth Kilichopo JijiniTanga, baadhi ya wanawake kiwandani hapo wamesema utekelezaji wa sera ya viwanda unaofanywa na Rais magufuli ni mkombozi kwa mwanamke. “Kazi nyingi za viwandani zimekuwa zikifanywa na wanawake jambo linalowakwamua na umasikini kwani kupitia hiyo nimeweza kutunza familia,” amesema Mwanamvua Ramadhani, mfanyakazi katika kiwanda hicho. Amesema wanawake ambao hawana ujuzi pia wamepata fursa ya kupata ajira za muda mfupi katika viwanda mbalimbali nchini. “Kama unavyofahamu wanawake tuna majukumu mengi hivyo kwa kweli utekelezaji kwa vitendo sera hii ni mkombozi, mwanamke kwa sasa kukaa nyumbani na kulia njaa ni kujitakia tu,” amesema Mwanamvua. Kiwanda hicho ambach

Miaka 50 ya Bakwata itumike kujitathmini

Image
DESEMBA 17, mwaka huu Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), linatarajia kufanya maadhimisho ya kutimiza miaka 50 tangukuanzishwa kwake. Maadhimisho hayo ya kitaifa ambayo yanatarajia kufanyika jijini Dar es Salaam, ni ya kwanza tangu baraza hilo lilipoanzishwa Desemba17, 1968 mkoani Iringa. Bakwata lilianzishwa kwa lengo la kuwaunganisha Waislamu wapate chombo cha kuwasemea, kuendeleza elimu kwa Waislamu, kutoa malezi namaadili mema kwa vijana, kuratibu shughuli zote za taasisi za Kiislamu nchini,kulinda na kusimamia mali za baraza hilo. Tangu lilipoanzishwa baraza hilo limeongozwa kwaawamu tatu, ambapo Sheikh Hemed Jumaa aliongoza kwa mara ya kwanza hadi mwaka2002, akafuatiwa na Issa Simba aliyedumu hadi mwaka 2015 na Sheikh Abubakar Zubeir aliyepo kwa sasa. Naamini kila uongozi uliopita unayo mambo mazuri uliyoyafanya kwa masilahi ya Waislamu wote nchini hususan awamu ya sasa chini ya Mufti Sheikh Zubeir ambaye tangu aingie madarakani amejipambanu

Alichokisema Rais Magufuli mradi wa kuzalisha umeme

Image
Serikali ya Tanzania na Misri zimesaini mkataba wa ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme wa Stiegler’s Gorge ambao utakuwa na uwezo wa kuzalisha Megawati 2,100 za umeme. Mkataba huo umesainiwa leo Jumatano Desemba 12, Ikulu jijini Dar es Salaam ambapo baada ya kusaini mkataba huo uliokuwa kati ya Rais John Magufuli na Waziri Mkuu wa Misri, Mostafa Madbouly, Watanzanaia wameombwa kuonesha ushirikiano wao kwa kuwa na mshikamano hadi hapo mradi huo utakapokamilika. “Niwaombe wananchi wanaoishi kwenye vyanzo vya maji muunge mkono mradii huu kwa kutunza vyanzo vya maji, msichome miti hovyo na kwa bahati nzuri Wakuu wa Mikoa wote mko hapa,” amesema Magufuli. Aidha, Rais Magufuli amesema mradi huo wa umeme wa Bonde la Mto Rufiji ulianza tangu kipindi cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, lakini kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo za kifedha nchi ilishindwa kutekelezajambo hilo.

Kamishna TRA ‘atangaza’ ajira kiaina

Image
              Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Charles Kichere, amesema mamlaka hiyo ina  upungufu wa rasilimali watu 1,930 hali inayosababisha ucheleweshwaji wa ukusanyaji kodi na kutofungua ofisi zao katika baadhi ya wilaya na kuifanya serikali kukosa mapato ya maeneo hayo. Kichere ameyasema hayo leo alipokuwa akiwasilisha taarifa ya TRA katika kikao cha Rais Dk John Magufuli na mamlaka hiyo na wakuu wa mikoa  kilichofanyika leo Jumatatu Desemba 10, jijini Dar es Salaam ambapo amesema mbali na upungufu huo pia wanahitaji nyumba 114 za wafanyakazi wa mipakani na ukarabati wa majengo 76 ya ofisi zao ili kuwapa mazingira mazuri ya kufanya kazi zao kwa ufanisi na kuongeza mapato.  Aidha, Kamishna Kichere pia ameiomba serikali kupitia upya mfumo wa ulipaji kodi kwa wafanyabiashara wadogo ili kuwasaidia kulipa kodi kwa hiari na kuwaandalia maeneo maalumu ya kufanyia biashara ili kuisaidia TRA kukusanya kodi kirahisi. “Mahakama ya kodi ina kesi

RAIS JPM awajia juu wanasiasa wanaowatetea wafanyabiashara wasiolipa kodi

Image
    Rais John Magufuli, amewajia juu wanasiasa wanaowatetea wafanyabishara wasiolipa kodi na kuwataka kuacha mara moja huku akihimiza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kuwakamata wafanyabiashara hao haraka iwezekanavyo. Ameyasema hayo leo Jumatatu Desemba 10, katika kikao maalumu kati yake uongozi wa TRA, na wakuu wa mikoa jijini Dar es Salaam ambapo amesema ni jukumu la kila Mtazania kulipa kodi. “Kuna taarifa ya baadhi ya wafanyabashara kutetewa na wanasiasa, kwa hiyo Meneja wa TRA anamuachia, ukweli huo upo mimi  ndiyo Mwenyekiti wa chama ninakwambia mshike. “Baadhi yawafanyabiashara wameendelea kukwepa kodi kwa ujanja wa kuendeleza shughuli zauendeshaji, TRA kama kampuni kila siku inapata hasara kwanini isifungwe? Sisi hatuhitaji wawekezaji wanaopata hasara kila mwaka maana yake hiyo shughuli imemshinda,” amesema. Aidha, amesema kuwa suala la kukusanya kodiha lina chama na kwamba ifike mahali watu wote walipe kwani wasipokusanya kodi nchi haitafika mahali.

Shahidi abanwa mshtakiwa kutoa rushwa kwa waziri

Image

Magufuli atoa vitambulisho maalumu kwa wafanyabiashara wadogo

Image
                    Rais John Magufuli, amezindua vitambulisho maalumu 670,000 kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo wadogo ili viwasaidie kuzitambulisha biashara zao. Rais Magufuli amegawa vitambulisho hivyo leo Jumatatu Desemba 10, alipokuwa katika mkutano wake na viongozi wa Mamlaka yaMapato (TRA) na wakuu wa mikoa ambapo amesema vitambulisho hivyo ni maalumu kwa wafanyabiashara ambao mtaji wao hauzidi Sh milioni nne. Baada ya kugawa vitambulisho hivyo maalumu kwa wakuu wa mikoa ili wakawapatie wafanyabiashara katika maeneo yao, Rais Magufuli ametaka wafanyabiashara hao wasisumbuliwe na mtu yeyote. “Nimefikia hatua ya kutoa vitambulisho hivyo mimi mwenyewe kwa sababu nimeona mamlaka husika inachelewesha na wafanyabiashara wadogo wanaendelea kusumbuliwa. Rais Magufuli amesema vitambulisho hivyo viko 670,000 na kila mkuu wa mkoa atapewa vitambulisho 25, 000 ili wakavigawe kwa wafanyabiashara wa maeneo yao na fedha watakazopewa wakazilipe TRA. “Vitambulisho hivi na

Mikopo mingi chechefu inatokana na wafanyakazi wa benki wasio waaminifu’

Image
                Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga, amebainisha sababu za benki kutokopesha linatokana na benki zenyewe kutokuwa na wafanyakazi waaminifu kwa kuruhusu wakopaji wasiokidhi vigezo na kusababisha mikopo chechefu. Kutokana na hali hiyo, amesema BoT imechukua jukumu la kufuatilia kuajiriwa kwa watumishi hao pamoja na mambo mengine.                               Profesa Luoga amesema hayo leo Jumatatu Desemba 10, katika mkutano wa Rais John Magufuli na uongozi wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA). “Ni kweli benki zinapaswa kuwa huru lakini BoT inapaswa kuangalia mwenendo wao, kwa mfano kuna wakati mikopo ilikuwa haitolewi, BoT imechukua jukumu na imekuwa ikikaa chini na benki nchini kutathmini kwanini mikopo haitolewi na mara nyingi majibu na kwamba benki inaogopa hasara kwa sababu watu hawajulikani lakini BoT imechukua jukumu kuhakikisha watu wanajulikana. “Pia kumekuwa na tatizo la rushwa, wakopaji wengine wabovu

GENETICS FIV