Posts

Showing posts from January 29, 2019

AJALI:magari yagongana pia kuwaka moto kusababisha vifo vya waili

Image
(Picha siyo ya tukio lenyewe)  Watu wawili wamefariki papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa baada ya magari mawili kugongana uso kwa uso kisha kuwaka Moto mkoni Morogoro. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa amesema kuwa ajali hiyo imetokea katika eneo la Makunganya Mkoani mkoani humo majira ya saa 11 alfajiri. Majeruhi wa ajali hiyo wamepelekwa hospitali ya mkoa wa Morogoro ambapo inaelezwa kuwa mmoja wapo hali yake ya kiafya kuwa mbaya zaidi.