Posts

Showing posts from January 14, 2019

PHYSICS SYLLABUS A LEVEL

PHYSICS SYLLABUS OLEVEL I-IV

BIOLOGY FORM THREE

BIOLOGY FORM FOUR

PHYSICS FORM ONE

PHYSICS FORM THREE

PHYSICS FORM TWO

Mbunge kuwasilisha hoja binafsi lugha ya kufundishia

Image
TIGANYA VINCENT, TABORA MBUNGE wa Tabora Kaskazini,  Almas Maige (CCM), amesema wakati umefika kwa Watanzania kuanza kutumia   Kiswahili kwa ajili ya kufundishia katika shule za sekondari na elimu ya juu kwa masomo yote. Amesema hatua hiyo itasaidia kuwawezesha vijana wengine kuelewa wanachofundishwa na kuwa na ufanisi katika utendaji kazi. Maige alisema hayo jana mjini Tabora alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu hoja yake aliyoiwasilisha bungeni  kutaka Kiswahili kitumike kama lugha ya kifundishia na kujifunza katika shule za sekondari na vyuo  nchini. Alisema utafiti uliofanywa na wataalamu na wanazuoni mbalimbali umeonyesha  asilimia 50 ya wanafunzi hawaelewi wanachofundishwa kutokana na matumizi ya Kiingereza. Maige alisema hata wanavyuo vya ufundi wanaofundishwa kwa   Kiingereza wanapomaliza masomo yao wanapokuwa kazini hawatumii lugha hiyo katika kutekeleza  majukumu yao ya kila siku bali wanatumia Kiswahili. Mbunge huyo wa Tabora Kaskazini a

PHYSICS FOR FOUR