VIDEO: Walalamikia hali kibiashara kuwa ngumu



Wafanyabiashara wa maduka katika stendi ndogo jijini Arusha wamefunguka na kuelezea hali ya kibiashara katika kipindi hiki cha sikukuu ya krismas na mwaka mpya kwamba ni ngumu kuliko mika iliyopita ilikuwa na afadhali.
Akizungumza Katibu wa wafanyabiashara stendi ndogo jijini Arusha Anjelo Shokia amesema kuwa kwa hali hiyo itapelekea wengi kufunga biashara na kutafuta vitambulisho ili kurudi hali ya kuwa wamachinga.

Comments

Popular posts from this blog

KESI YA ZITTO MUSWADA WA SHERIA YA VYAMA VYA SIASA YAHAMISHWA

Waziri asimamisha likizo za Marubani ATCL