VIDEO: Maalim Seif kutua ACT Wazalendo siri yafichuka, CUF waeleza A-Z


 Mkurugenzi wa Ulinzi wa Chama cha Wananchi (CUF), Khalifa Suleiman amefunguka kuhusiana na sakata la Katibu Mkuu wa chama hicho Maalim Seif kuhamia ACT Wazalendo.

Comments