VIDEO: Serikali ya JPM yapongezwa kwa kupanua wigo wa ajira



 
Baadhi ya wamiliki wa vituo vya mafuta jijini ARUSHA wamesema usimamizi mzuri wa serikali katika biashara hiyo umeweza kuifanya sekta hiyo kuimarika na kutoa fursa kwa Watu kuwekeza katika sekta hiyo jambo linaloweza kuongeza wigo wa ajira kwa vijana.

Comments

Popular posts from this blog

Uchaguzi DRC: Kanisa Katoliki lasema kuna mshindi wa wazi uchaguzi wa urais

Tumbua tumbua: vigogo Ardhi Kigoma wavuliwa nyadhifa