Posts

JPM afichua akaunti 3,000 feki za korosho

Image
AZIZA MASOUD-DAR ES SALAAM RAIS Dk. John Magufuli, amesema kuna wafanyabiashara 3,000 walifungua akaunti feki ili walipwe fedha za korosho. Pia amesema wanaolalamikia fedha za ununuzi wa korosho ni wafanyabiashara wasiokuwa na mashamba na amesisitiza Serikali haitawalipa watu hao kwa kuwa hawana uhalali wa kupata malipo hayo. Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana aposhuhudia utiaji saini wa mkataba wa kuuziana tani 36,000 za mahindi zenye thamani ya Sh bilioni 21 kati ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP). “Ununuzi wa korosho unaenda vizuri, wanaopiga kelele ni wale makambonga kwa sababu walinunua korosho walifikiri watalipwa fedha, wanapoulizwa mashamba yako wapi hawayaonyeshi kwa hiyo hawalipwi, wale ndio wanapiga kelele na tumeshajua kuna akaunti karibu 3,000 feki watu walizifungua nazo hazilipwi,” alisema.   Magufuli alisema Serikali haina shida na wafanyabiashara isipokuwa inahitaji watu wanaof

MATOKEO KIDATO CHA PILI 2018 HAYA HAPA

AZANIA SECONDARY SCHOOL BWIRU BOYS SECONDARY SCHOOL DUNG'UNYI SEMINARY LUTHERAN JUNIOR SEMINARY IFUNDA TECHNICAL SECONDARY SCHOOL ILBORU SECONDARY SCHOOL ITAGA SEMINARY IYUNGA TECHNICAL SECONDARY SCHOOL MAFINGA SEMINARY KAENGESA SEMINARY KANTALAMBA SECONDARY SCHOOL KASITA SEMINARY KATOKE SEMINARY KIBAHA SECONDARY SCHOOL ST. JAMES SEMINARY KILIMANJARO BOYS SECONDARY SCHOOL LIKONDE SEMINARY MAKOKO SEMINARY SECONDARY SCHOOL MALANGALI SECONDARY SCHOOL MAUA SEMINARY MOSHI SECONDARY SCHOOL MOSHI TECHNICAL SECONDARY SCHOOL MUSOMA SECONDARY SCHOOL MPWAPWA SECONDARY SCHOOL MTWARA TECHNICAL SECONDARY SCHOOL MZUMBE SECONDARY SCHOOL NAMUPA SEMINARY NYEGEZI SEMINARY PUGU SECONDARY SCHOOL RUBYA SEMINARY SHINYANGA SECONDARY SCHOOL SONGEA BOYS SECONDARY SCHOOL ST. PETER'S SEMINARY TABORA BOYS SECONDARY SCHOOL TANGA TECHNICAL SECONDARY SCHOOL HANGA SEMINARY ST. JOSEPH'S ITERAMBOGO SEMINARY URU SEMINARY KIDUGALA LUTHERAN SEMINARY SANU SEMINARY BIHAWANA JUNIOR SEMINARY ARUSHA CA