CAG ashindwa kunyamaza, amjibu Spika

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali (CAG), Prof. Mussa Asad amesema kuwa ameitika wito wa kisheria kutoka wa Kamati ya Kudumu ya Bunge, Maadili na Madaraka ya Bunge uliyomtaka kwa ajili ya mahojiano ifikapo January 21 mwaka huu.

Comments

Popular posts from this blog

Zitto ni mchawi, kaniroga sana kashindwa na sio raia wa Tanzania- Katibu UVCCM Kigoma