BREAKING NEWS: Waziri Angela Kairuki ahamishwa Wizara ya Madini

Leo December 08, 2018 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko madogo kwenye baraza la mwaziri.
Tatika mabadiliko hayo Angela Kairuki amehamishwa kutoka wizara ya madini na kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, Doto Biteko akiwa Waziri Kamili wa wizara ya Madini.

Comments

Popular posts from this blog

MGOMO: Mrema awagumzo kwa wapinzani wenzake

Mapya Yaibuka, Aliyedaiwa Kufia Mwananyamala na Dawa za Kulevya Tumboni

Mfanyabiashara Akram aachiwa kwa kulipa faini ya sh milioni 259