MBINU ZA KUFAULU MTIHANI KWA WANAFUNZI

Image result for chemistry examination

Ili mwanafunzi aweze kufaulu mtihani lazima afanye yafuatayo
1.Mtihani ni nini?
2.kwanini kuna mtihani?
3.anayetunga mtihani ninani?
4.mtihani unajibiwa na nani?
5.mbinu gani za kujibu mtihani?
6.Mtihani unajibiwa ukiwa na hali gani (mud)
7.Nitafanyeje ili niweze kufaulu mitihani yangu?
8.Nifanyeje kabla ya kuingia kwenye chumba cha mtihani?
9.Nikina nani wanapaswa kufaulu mtihani?

Akijua maswali haya mwanafunzi atajijengea juhudi ya kusoma ili afaulu zaidi

KUMSAIDIA MWANAFUNZI AFAULU SAYANSI   BONYEZA HAPA

Comments

Popular posts from this blog

KESI YA ZITTO MUSWADA WA SHERIA YA VYAMA VYA SIASA YAHAMISHWA

Waziri asimamisha likizo za Marubani ATCL