Duh!: Mchezaji huyu apatwa na haya

Inaripotiwa kwamba Mwanasoka wa Ghana Asamoah Gyan ambae aliwahi kuwa Mchezaji anayelipwa zaidi duniani akiwa anapokea zaidi ya Tsh. Milioni 658 kwa wiki amefilisika kwa sasa, inadaiwa Gyan ana Tsh. Milioni 1 na Laki 7 kwenye akaunti yake kwa sasa.

Comments

Popular posts from this blog

Picha: Rais Magufuli akiweka Jiwe la Msingi Mradi wa ujenzi wa daraja jipya

WE CAN, WE MUST ,WE WILL:Dkt. Mengi awapongeza Serengeti Boys

Meli zachangamsha biashara ya usafirishaji