Duh!: Mchezaji huyu apatwa na haya

Inaripotiwa kwamba Mwanasoka wa Ghana Asamoah Gyan ambae aliwahi kuwa Mchezaji anayelipwa zaidi duniani akiwa anapokea zaidi ya Tsh. Milioni 658 kwa wiki amefilisika kwa sasa, inadaiwa Gyan ana Tsh. Milioni 1 na Laki 7 kwenye akaunti yake kwa sasa.

Comments

Popular posts from this blog

MGOMO: Mrema awagumzo kwa wapinzani wenzake

Mapya Yaibuka, Aliyedaiwa Kufia Mwananyamala na Dawa za Kulevya Tumboni

Mfanyabiashara Akram aachiwa kwa kulipa faini ya sh milioni 259