VIDEO: Mrisho Gambo kutua na tuzo kwa Rais Magufuli



Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amekabidhiwa Tuzo maalum kwa ajili kwenda Rais Magufuli ambapo ni shukrani zao kwa ajili ya kazi nzuri aliyoifanya kwa kipindi cha miaka mtatu tangu aingie madarakani.

 PATA MAARIFA ZAIDI



Comments