jifunze kufaham ugonjwa Wa Chango La Uzazi - (Mke/Mume)


Tunapozungumzia mgonjwa wa chango tuna maana kuwa ni matatizo yaliyopo katika viungo vya uzazi kwa mke au mume. Huu ni ugonjwa ambao humpata mtu katika umri mdogo utotoni. Kwa mfano :- mume, hupata maumivu ya tumbo mara kueneza anapokuwa mdogo. Kwa upande wa mwanamke hupata maumivu ya tumbo anapoanza kuvunja ungo. Maumivu hayo hupelekea mtu (mume/mwanamke) kupata madhara katika viungo vyake vya uzazi.

DALILI ZAKE
  • Kwa mwanaume atakuwa akishiriki tendo la ndoa, anawahi sana kufika kileleni na kurudia mara nyingine ni vigumu sana.
  • Pia mwanaume hatakuwa na uwezo wa kusimamisha.
  • Ni vigumu kumpa mimba mwanamke
  • Mwanamke mwenye chango la uzazi ana dalili zifuatazo:-
  • Kupata maumivu makali wakati anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi
  • Kuhisi maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa
  • Siku zake za hedhi hazitakuwa na ratiba, zitakuwa zinabadilika badilika
  • Hujisikia homa kali anapokaribia siku zake za dhedhi
  • Kupatwa hasirakali/ jazba anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi.
  • Kujisikia uchovu mkubwa anapokaribia siku zake za hedhi.
  • Kupata mchubuko kwenye mapaja na sehemu za uke.
  • Kuchukia kushiriki tendo la ndoa
  • Kupata uvimbe kwenye kizazi
  • Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi
Madhara yake kwa mwanamke
  • Kwa mwanamke ni vigumu kupata mimba
  • Mwanaamke anaweza kuwa tasa kabisa
  • Kuingia na kutoka kwa mimba
  • Kuwa na hamu ya tendo la ndoa lakini hafikii kileleni
  • Kuwa na uke mdogo sana
Madhara kwa Mwanaume
  • Kuwa na mbegu ambazo haziwezi kutunga mimba
  • Kiwango kinachozalishw cha megu ni kidogo mno
  • Kuwa na kiwewe cha kushiriki tendo la ndoa
  • Kusimama na kusinyaa kwa uume
Tiba ya Chango la Uzazi
  • Ni vizuri sana kumweleza Dr. Dalili zote mtu anapojisikia.
  • Mara nyingi ugonjwa huu hautibiwi kwa dawa za hospitalini, bali ugonjwa wa chango la uzazi hutibiwa na miti shamba.
  • Dawa inayotibu ugonjwa huu ni dawa inayotibu kizazi.
  • Matumizi yake kawaida mtu ataitumia kulingana na ukubwa wa tatizo lake.
  • Huchanganywa na viungo vya uzazi vya wanyama, ambavyo kazi yake ni kuondoa matatizo yaliyopo, kwenye kizazi cha manamke/mwanaume.
  • Wengi wana amini kuwa dawa za miti shamba hazina uwezo wa kutibu haya ni mawazo potofu, miti shamba ndiyo suluhisho la kila tatizo katika afya zetu.Mimi mwenyewe ni shuhuda nimelelewa katika miti shamba, ukipewa dawa ya mitishamba haijakusaidia ufahamu kuwa kiwango cha Dr/Mganga huyo hakijakomaa.

Comments

Popular posts from this blog

KESI YA ZITTO MUSWADA WA SHERIA YA VYAMA VYA SIASA YAHAMISHWA

Waziri asimamisha likizo za Marubani ATCL