WADAU WOTE WA ELIMU MNATANGAZIWA KUWA ,NOTES ZA MASOMO YA SAYANSI KWA VITENDO (PRRACTICAL) BIOLOGY ,PHYSICS, CHEMISTRY KWA UPANDE WA OLEVEL, ZINAPATIKANA HAPA ZINGINE PIA
Picha ya mtandao Watu 11 wa familia moja wa kijiji cha Mtwarapachani, Namtumbo mkoani Ruvuma, wamenusurika kifo baada ya kunywa pombe aina ya togwa. Wanafamilia hao kwa sasa wamelazwa katika Kituo cha Afya cha Namtumbo kwa matibabu, Waliolazwa ni Tatu Ndumbaro (48), Maisha Ndumbaro (14), Issa Ndumbaro (5), Mariamu Issa Ndumbaro (48), Daima Ndumbaro (29) na Khadija Ndumbaro (12). Wengine ni Asha Omari (80), Asheri Uega (31), Safiruna Omari (32), Matokeo Ndumbaro (13) na Bahati Ndumbaro(25) ambao wote ni wa familia moja ya Ndumbaro walioko katika kijiji hicho. Mganga Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, Dk. Yuna Hamisi, alikiri kuwapo kwa wagonjwa hao katika kituo hicho cha afya na kwamba timu ya madaktari ikiongozwa na Godwin Luta iko kituoni hapo kuhakikisha wanaokoa maisha yao. Mganga aliyeshiriki katika uchunguzi huo, Dk. Luta, alisema baada ya kuwachunguza wagonjwa hao walibaini ugonjwa huo wa kutapika na kuharisha ulisababishwa na kitu walichokula katika ...
Comments