Mlipuko wa bomu wauwa polisi mmoja

Polisi mmoja ameuawa katika mlipuko karibu na kanisa mashariki mwa Cairo nchini Misri.
Bomu lililotegwa kwa mikono karibu na Kanisa la Abu Seyfeyn huko Cairo lililipuka ghafla wakati polisi wakijaribu kulitegua na kusababisha kifo cha polisi mmoja.

Polisi watatu wameripotiwa kujeruhiwa.

Comments

Popular posts from this blog

MGOMO: Mrema awagumzo kwa wapinzani wenzake

Mapya Yaibuka, Aliyedaiwa Kufia Mwananyamala na Dawa za Kulevya Tumboni

Mfanyabiashara Akram aachiwa kwa kulipa faini ya sh milioni 259