Mlipuko wa bomu wauwa polisi mmoja

Polisi mmoja ameuawa katika mlipuko karibu na kanisa mashariki mwa Cairo nchini Misri.
Bomu lililotegwa kwa mikono karibu na Kanisa la Abu Seyfeyn huko Cairo lililipuka ghafla wakati polisi wakijaribu kulitegua na kusababisha kifo cha polisi mmoja.

Polisi watatu wameripotiwa kujeruhiwa.

Comments

Popular posts from this blog

Uchaguzi DRC: Kanisa Katoliki lasema kuna mshindi wa wazi uchaguzi wa urais

Tumbua tumbua: vigogo Ardhi Kigoma wavuliwa nyadhifa

TAHARUKI: KANISA KATOLIKI LAANIKA HADHARANI JINA LA MSHINDI WA URAIS CONGO