Mlipuko wa bomu wauwa polisi mmoja

Polisi mmoja ameuawa katika mlipuko karibu na kanisa mashariki mwa Cairo nchini Misri.
Bomu lililotegwa kwa mikono karibu na Kanisa la Abu Seyfeyn huko Cairo lililipuka ghafla wakati polisi wakijaribu kulitegua na kusababisha kifo cha polisi mmoja.

Polisi watatu wameripotiwa kujeruhiwa.

Comments

Popular posts from this blog

Picha: Rais Magufuli akiweka Jiwe la Msingi Mradi wa ujenzi wa daraja jipya

WE CAN, WE MUST ,WE WILL:Dkt. Mengi awapongeza Serengeti Boys

Meli zachangamsha biashara ya usafirishaji