Makamu Mwenyekiti wa chama tawala Kenya ajiuzulu


Makamu Mwenyekiti wa chama tawala cha Jubilee nchini Kenya, David Murathe amejiuzulu wadhifa wake huo.

Lakini akanusha taarifa zilizojitokeza kwamba amejiondoa kwenye chama hicho.

Comments

Popular posts from this blog

Zitto ni mchawi, kaniroga sana kashindwa na sio raia wa Tanzania- Katibu UVCCM Kigoma