Makamu Mwenyekiti wa chama tawala Kenya ajiuzulu


Makamu Mwenyekiti wa chama tawala cha Jubilee nchini Kenya, David Murathe amejiuzulu wadhifa wake huo.

Lakini akanusha taarifa zilizojitokeza kwamba amejiondoa kwenye chama hicho.

Comments

Popular posts from this blog

Picha: Rais Magufuli akiweka Jiwe la Msingi Mradi wa ujenzi wa daraja jipya

WE CAN, WE MUST ,WE WILL:Dkt. Mengi awapongeza Serengeti Boys

Meli zachangamsha biashara ya usafirishaji