Makamu Mwenyekiti wa chama tawala Kenya ajiuzulu Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps By Maguruacademy - January 06, 2019 Makamu Mwenyekiti wa chama tawala cha Jubilee nchini Kenya, David Murathe amejiuzulu wadhifa wake huo. Lakini akanusha taarifa zilizojitokeza kwamba amejiondoa kwenye chama hicho. Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Comments
Comments