Popular posts from this blog
PHYSICS 2B F4-2015
By
Maguruacademy
-
Matukio 12 ya kukumbukwa duniani 2018
By
Maguruacademy
-
MARKUS MPANGALA MWAKA 2018 unafika tamati kesho. Yapo matukio kadhaa ambayo yamevigusa vyombo mbalimbali duniani. Miongoni mwa matukio hayo yapo ya kiuchumi, kisiasa na kijamii pia kuna ya kusikitisha yaliyosababisha hata vifo. Haya ni baadhi ya matukio ya kukumbukwa katika mwaka huu 2018 ni:- Uzunduzi wa treni yenye kasi zaidi Afrika Taifa la Morocco lilizindua treni inayokwenda kwa kasi zaidi barani Afrika ambayo imepunguza nusu ya muda wa kilometa 200 unaotumika kusafiri katika miji ya kibiashara na kiviwanda ya Casablanca na Tangier katika safari ya saa mbili. Uzinduzi huo ulifanywa na Mfalme Mohammed VI na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron.Treni hiyo inakwenda kwa kasi ya kilometa 320. Afrika inatazamia kuimarisha miundombinu ya usafiri kushinikiza biashara, uwiano na utangamano wa kieneo. Mataifa ya Afrika yanakumbatia mfumo wa reli ya mwendo kasi katika kujaribu kushinikiza na kukuza uchumi na kuimarisha kasi za kusafirisha bidhaa baina ya mataifa kibiashara...
Comments