Popular posts from this blog
Sababu nane za kufutwa safari za Fastjet
By
Maguruacademy
-
MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imetaja sababu nane za kufuta safari za ndege za Shirika la Fastjet Tanzania na kuipa notisi ya siku 28 kujieleza kwanini wasifutiwe leseni ya kuendesha biashara hiyo nchini. Wakati TCAA ikieleza hayo, Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika hilo na mwanahisa mkubwa wa Fastjet Tanzania, alipotafutwa kuzungumzia hali hiyo alisema yupo kwenye kikao. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana Mkurugenzi Mkuu wa TCAA, Hamza Johari, alitaja sababu hizo kuwa ni kutokuwa na ndege baada ya moja kati ya mbili zilizosajiliwa nchini kuharibika na kupelekwa nje ya nchi kwa matengenezo, huku moja ikizuiwa na mamlaka hiyo. Ndege hiyo ilizuiwa baada ya kampuni iliyowakodishia Fastjet kuitaka irudishwe kwa kile walichodai kuwa inafanya kazi bila wao kupata chochote. Alisema kutokana na uamuzi huo wa mkodishaji kutaka arejeshewe ndege yake, alilazimika kuizuia kama am...
Waumini wamgeuka Imam msikitini, wataka aongoze maandamano
By
Maguruacademy
-
Imam mwenye ushawishi mkubwa jijini Khartoum nchini Sudan amezongwa na waumini akiwa msikitini wakimtaka awaongoze kufanya maandamano dhidi ya Serikali ya Rais Omar al-Bashir. Video iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii inawaonesha baadhi ya waumini wakipaza sauti mbele ya Imam huyo, “amka utuongoze kuandamana kutoka hapa msikitini.” Umati wa watu walitoka msikitini wakipiga kelele za kutaka Serikali iliyopo madarakani iachie ngazi. Polisi waliofika katika eneo hilo walifyatua mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji waliojikusanya baada ya ibada ya Ijumaa. Katika kipindi cha wiki mbili za maandamano ya kupinga Serikali, watu 22 wameripotiwa kupoteza maisha. Okwi, Kagere walivyowapasua JS Saoura 3-0 Kwa mujibu wa Reuters, maandamano yaliyoshuhudiwa jana ni makubwa kuliko yaliyokuwa yamefanyika awali. DC Njombe awapa neno Wajasiliamali Maandamano yalianza Desemba 19 mwaka huu baada ya Serikali kutangaza kupanda kwa bei za vyakula na mafuta, hali inayoda...
Comments